iqna

IQNA

trump
TEHRAN (IQNA) "American Muslims (Waislamu wa Marekani) ni filamu inayoshughulikia maswala ya sasa kama vile ubaguzi wa rangi, na ubaguzi katika enzi ya media ya kijamii.
Habari ID: 3474200    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/17

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) imepongeza hatua ya rais mpya wa nchi hiyo, Joe Biden, kuondoa marufuku ya kusafiri na kuhajiri kuelekea Marekani raia wa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3473580    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22

TEHRAN (IQNA)- Ghasia zimeibuka maeneo kadhaa Marekani baada ya Joe Biden kuapishwa kama rais wa 46 wa Marekani siku ya Jumatano.
Habari ID: 3473577    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21

TEHRAN (IQNA)- Hofu imetanda kote Marekani wakati huu wa kukaribia kuapishwa Joe Biden kama rais wa nchi hiyo huku wanajeshi zaidi ya 30,000 wakiingia katika mji mkuu Washington DC kulinda usalama.
Habari ID: 3473565    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/17

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya amesema kufedheheka na kuaibika utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani katika siku zake za mwisho ni ishara kuwa, ubaguzi wa rangi na ukiukwaji sheria na mambo ambayo hayana mwisho mwema.
Habari ID: 3473553    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu Iraq amesema waranti uliotolewa hivi karibuni na mahakama moja ya Iraq wa kukamatwa rais Donald Trump wa Marekani anayeondoka ni ushindi kwa azma ya wananchi wa kuwaadhibu waliowaua makamanda wa muqawama.
Habari ID: 3473540    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio ya hivi karibuni katika Bunge la Congress nchini Marekani yamepelekea Wamarekani wafahamu hatari ya rais wa nchi hiyo anayeondoka Donald Trump.
Habari ID: 3473538    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09

TEHRAN (IQNA) - Watu wasiopungua wanne wameuawa baada ya waandamanaji wenye vurugu kuvamia Bunge la Marekani, Congress, mjini Washington DC wakitaka matokeo ya uchaguzi wa rais wa Novemba 3 yaliompa ushindi Joe Biden yabatilishwe.
Habari ID: 3473532    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/07

TEHRAN (IQNA) – Januari 27 2017 ni siku ambayo Waislamu Wamarekani hawataishau. Katika siku hiyo, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikrii ya kuwapiga marufuku Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473503    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/29

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali 'mapatano' ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Morocco na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473448    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/12

TEHRAN (IQNA) - Imedokezwa kuwa, Rais mteule wa Marekani, Joe Biden anatazamiwa kuangalia upya uhusiano wa karibu uliopo hivi sasa baina ya nchi hiyo na Saudi Arabia.
Habari ID: 3473361    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump ndiyo serikali mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473353    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12

Zarif katika Twitter baada ya
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran kwa mara nyingine tena inatangaza kwamba iko tayari kushirikiana na nchi za eneo hili kwa ajili kulinda na kufanikisha manufaa ya pamoja.
Habari ID: 3473344    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/09

TEHRAN (IQNA) – Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amenukulu aya za Qur’ani Tukufu katika Surah An-Naziat katika kufafanua kushindwa Donald Trump katika uchaguzi wa rais Marekani mwaka huu.
Habari ID: 3473342    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemtaka rais mteula wa Marekani Joe Biden aufutilie mbali mpango wa Marekani-Wazayuni wa Muamala wa Karne, uliojaa njama na hila kwa madhara ya Wapalestina.
Habari ID: 3473341    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha cha upinzani cha Democratic, Joe Biden ndiye aliyechaguliwa na Wamarekani kuwa rais wa 46 wa nchi hiyo lakini Rais Donald Trump anasisitiza yeye ndiye mshindi na kwamba kumekuwepo wizi wa kura.
Habari ID: 3473340    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

Uchaguzi wa rais Marekani 2020
TEHRAN (IQNA) – Mgombea kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden amesema atawateua Waislamu nchini humo katika ngazi zote za kijamii na kisiasa za serikali yake endapo atashinda katika uchaguzi.
Habari ID: 3473269    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/17

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema hakuna chembe ya shaka kwamba Iran italipiza kisasi cha kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC.
Habari ID: 3473185    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19

TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 13 wa Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu umefanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran kwa lengo la kujadil namna nchi kadhaa za Kiarabu zilivyowasaliti Wapalestina kwa kuanzisha uhusiano na utawala dhalimu wa Israel unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3473177    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/17

Ayatullah Sheikh Isa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amesema kuanzisha uhusiano wa kawaida na kati ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kinyume cha matakwa ya wananchi katika nchi hizo.
Habari ID: 3473165    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13