iqna

IQNA

trump
Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema kuwa, kuanzisha na kutangaza wazi kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel hakutauwezesha utawala huo ghasibu uendelee kubakia.
Habari ID: 3473086    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi kulaani mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473072    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16

TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria ujumbe wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ametoa pendekezo la kufanyika duru mpya ya mazungumzo ya nyuklia na Tehran na kusisitiza kuwa, mapambano ya Kiislamu au muqawama ndio njia pekee ya kumshinda adui.
Habari ID: 3472843    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06

Maoni
TEHRAN (IQNA) –Waislamu nchini Marekani wanatazamiwa kuwa na taathira kubwa katika uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Habari ID: 3472525    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/03

TEHRAN (IQNA)- Mgawanyiko mkubwa umedhihirika katika uga wa kisiasa Marekani wakati rais Donald Trump wa nchi hiyo alipokuwa akitoa hotuba ya kila mwaka mbele ya Bunge la Kongresi huku mchakato wa kumuondoa madakarani ukikaribia kumalizika.
Habari ID: 3472442    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/05

TEHRAN (IQNA) – Iwapo Waislamu nchini Marekani wanataka 'kuonekana' na masuala yao yazingatiwe katika ngazi za maamuzi muhimu, basi wanapaswa kushiriki katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo.
Habari ID: 3472430    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/01

TEHRAN (IQNA) – Watetezi wa haki za wahamiaji na haki za binadamu wamemlaani Rais Donald Trump wa Marekani kwa kupanua marufuku ya nchi ambazo raia wake wanakabiliwa na vizingiti vya uhamiaji kuingia nchini humo, hatua ambayo imetajwa kuwa na ajenda ya chuki dhidi ya raia wa kigeni.
Habari ID: 3472428    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/01

Katika barua maalumu
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Iran (Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu) ametoa wito wa kukabiliana na mpango bandia wa Rais Donald Trump uliopewa jina la "Muamala wa Karne". Aidha ametoa wito kutatuliwa mgogoro wa Palestina kwa kutumia njia ya kura ya maoni na udiplomasia wa kibunge.
Habari ID: 3472418    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/29

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limeanzisha kampeni maalumu ya kuwahimiza Waislamu kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa rais utakaofanyika nchini humo mwaka 2020.
Habari ID: 3472395    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/22

TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limekosoa ujumbe wa Twitter wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo wenye kukejeli Uislamu na Waislamu na kusema ujumbe huo unaweza kuhatarisha maisha ya Wamarekani Waislamu na Masingasinga.
Habari ID: 3472370    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/14

TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza kivitendo ahadi yake ya kutoa jibu kali kwa jinai ya Marekani ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC
Habari ID: 3472357    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/09

TEHRAN (IQNA) - Mbunge Muislamu Marekani apinga sera za Trump dhidi ya Iran na kusema vikwazo na vita vya kiuchumi ni hatua ambazo zinakinzana na sera za kupunguza taharuki.
Habari ID: 3472356    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/09

TEHRAN (IQNA) – Meya Mwislamu huko New Jersey nchini Marekani amesema alishikiliwa kwa muda katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa John F. Kennedy mjini New York mwezi uliopita ambapo maafisa wa usalama walimsaili kuhusu iwapo anawafahamu magaidi.
Habari ID: 3472129    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/14

TEHRAN (IQNA) - Wabunge katika Kongresi ya Marekani ambayo walidhalilishwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo wamesema hawatatishika.
Habari ID: 3472046    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/16

TEHRAN (IQNA)-Rais Donald Trump wa Marekani amelaani vikali na kutengwa kimataifa kudai kuwa kuwa utawala haramu wa Israel unamiliki miinuko ya Golan ya Syria.
Habari ID: 3471887    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/24

TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika mji wa Memphis jimboni Tenessee wameanza chehreza za muda wa mwezi moja kwa lengo la kuutmabulisha Uislamu kwa wasiokuwa Waislamu eneo hilo.
Habari ID: 3471861    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/04

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kutetea haki za raia nchini Marekani yamemlaani rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa kumteua mtu mwenye chuki dhidi ya Uislamu kuwa naibu mshauri wa usalama wa taifa.
Habari ID: 3471810    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/18

TEHRAN (IQNA)-Waislamu Marekani wamelaani uamuzi wa Mahakama ya Kilele nchini humo kuunga mkono marufuku kuingia nchini humo wasafiri kutoka nchi tano za Waislamu huku wakisema uamuzi huo utawaathiri vibaya.
Habari ID: 3471575    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/28

TEHRAN (IQNA) - Jumatano iliyopita , Rais Donald Trump wa Marekani aliandaa katika Ikulu ya White House kile alichodai kuwa ni dhifa ya futari kwa ajili ya Waislamu, lakini la kushangaza ni kuwa Waislamu wa Marekani hawakualikwa.
Habari ID: 3471549    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/09

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471512    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14