iqna

IQNA

canada
Chuki dhidi ya Waislamu
IQNA-Nchini Kanada mtu mwenye misimamo mikali kuwa wazungu ndio watu bora zaidi duniani aliyewaua watu wanne wa familia ya Kiislamu amepatikana na hatia ya ugaidi.
Habari ID: 3478399    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Chuki dhidi ya Uislamu
OTTAWA (IQNA) - Mwanaharakati wa Kiislamu wa Kanada (Canada) alielezea kiwango cha chuki dhidi ya Uislamu na ukandamizaji Waislamu nchini humo katika wiki za hivi karibuni kuwa haujawahi kutokea.
Habari ID: 3477894    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

TORONTO (IQNA) – Mwanamke Mwislamu anayevaa hijabu aliteuliwa na meya mpya aliyechaguliwa wa Toronto, Kanada Oliva Chow kama Naibu Meya wa eneo la kusini mwa jiji.
Habari ID: 3477427    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Biashara wa Kanada, Mary Ng amelaani shambulio la chuki dhidi ya Uislamu lililolenga msikiti mmoja eneo la Markham, Ontario wakati mtu mmoja alipovunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu na kujaribu kuwashambulia waumini kwa gari.
Habari ID: 3476842    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10

Waislamu wa Kanada
TEHRAN (IQNA) - Wanachama wa Taasisi ya Misaada ya Kiislamu Kanada wametayarisha mamia ya vifurishi vya misaada maalumu ya majira ya baridi kali kwa ajili ya watu wasio na makazi wa Metro Vancouver siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476267    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/18

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Kanada (NCCM) limeashiria kisa cha hujuma dhidi ya msikiti wa eneo la Toronto kama ishara ya "kuongezeka kwa kutisha kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)".
Habari ID: 3475963    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Wamagharibi na ugaidi
TEHRAN (IQNA)- Mwandishi wa kitabu kilichochapishwa hivi karibuni amefichua jukumu la idara ya kijasusi ya Kanada (Canada) katika kutuma wasichana kwenda kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kusisitiza kuwa serikali ya Uingereza ilijua jukumu la Kanada katika kashfaa hii lakini ikajizuia kuifichua.
Habari ID: 3475710    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Mji wa Gander katikati mwa jimbo la Newfoundland na Labrador nchini Kanada (Canada) unafanya kazi na jumuiya yake ya Waislamu wa eneo hilo kuanzisha msikiti wake wa kwanza ili kuwashawishi madaktari Waislamu wasihame eneo hilo.
Habari ID: 3475643    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wengi wameuawa katika mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Canada (Kanada) kuliko nchi nyingine yoyote ya kundi la G-7 kati ya 2017-2021.
Habari ID: 3475591    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Waislamu Canada
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya sanaa ya Kiislamu yalizinduliwa mapema wiki hii huko Saanich, Victoria nchini Canada.
Habari ID: 3475560    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Jinai za Kanisa
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu, Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki, amekwenda Kanada (Canada) na kuomba msamaha kwa wenyeji asilia wa nchi hiyo kutokana na kuhusika kanisa hilo katika moja ya jinai na maafa mabaya zaidi ya kibinadamu nchini humo.
Habari ID: 3475545    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Sikukuu ya Idul Adha
TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika mji mkuu wa Canada, Ottawa, wamekuwa wamekusanyika kusherehekea Idul Adha ana kwa ana mwaka huu – haya yakiwa ni mabadiliko makubwa baada ya miaka miwili ya vikwazo vya COVID-19.
Habari ID: 3475488    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/11

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya kipekee kwa ajili ya wanaotaka mtindo wa kimaisha ambao ni ‘Halal’ katika eneo la Amerika Kaskazini yanafanyika wiki hii nchini Canada kwa lengo la kuwaunganisha watenda na mashirika yanayojishughuisha na bidhaa na huduma Halal.
Habari ID: 3475233    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa mji wa Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba Canada wamechanga pesa kwa ajili ya kuwasiadia Wayemen wanateseka kutokana na vita.
Habari ID: 3475110    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/10

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimepongeza uamuzi wa serikali ya Canada kutangaza siku maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474879    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amempongeza mwenzake wa Canada kutokana na hatua yake ya kulaani chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia huku akitaka kuwepo jitihada maalumu za kukabiliana na tatizo hilo.
Habari ID: 3474868    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Al Rashid huko Edmonton nchini Canada sasa unatumika kama makazi ya usiku kwa watu masikini wasio na nyumba katika kipindi hiki cha msimu wa baridi kali.
Habari ID: 3474751    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/01

TEHRAN (IQNA)- Polisi nchini Canada imemkamata mtu mmoja Jumatatu baada ya mzoga kutupwa nje ya msikiti katika eneo la Vaudreuil-Dorion hivi karibuni.
Habari ID: 3474674    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14

TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau imetangaza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya sheria ya jimbo la Quebec ambayo imepelekea mwalimu mmoja Muislamu ahamishwe kazi kwa sababu tu alikuwa amevaa Hijabu.
Habari ID: 3474665    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa jamii ya Wauyghur Waturuki wanaoishi katika mji wa Toronto, Canada wamenunua jengo la kale ambalo lilikuwa Kanisa na kuligeuza kuwa Msikiti.
Habari ID: 3474344    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26