TEHRAN (IQNA) - Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha maazimio matano ya kuunga mkono Palestina na miinuko ya Golan ya Syria.
Habari ID: 3473417 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03
TEHRAN (IQNA) – Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Ayman Sousan amemlaani vikali Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwa kutembelea Miinuko ya Golan ya Syria ambayo inakaliwa kwa mabavu na Israel na kusema ardhi hiyo hatimaye itarejea Syria.
Habari ID: 3473381 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/21
TEHRAN (IQNA)-Rais Donald Trump wa Marekani amelaani vikali na kutengwa kimataifa kudai kuwa kuwa utawala haramu wa Israel unamiliki miinuko ya Golan ya Syria.
Habari ID: 3471887 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/24
TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Syria limetungua ndege moja ya kivita ya utawala haramu wa Israeli aina ya F-16 ambayo ilikuwa imetekekeza hujuma ndani ya ardhi ya Syria mapema leo.
Habari ID: 3471386 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/10