iqna

IQNA

Chechnya
Waislamu Russia
IQNA - Kijana mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka 3.5 jela nchini Russia kwa kujunjia heshima nakala Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478430    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Jamhuri ya Chechnya yenye mamlaka ya ndani katika Shirikisho la Russia ametenga zawadi ya Ruble milioni 10 za Kirusi ambazo ni sawa na dola 168,000 za Kimarekani kwa atakayefanikisha kukamatwa akiwa hai, askari wa jeshi la Ukraine aliyeivunjia heshima Qur'ani tukufu kwa kuichoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu.
Habari ID: 3476730    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Waislamu Russia
TEHRAN (IQNA)- Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Rais wa Jamhuri ya Chechenya ndani ya Shirikisho la Urusi amesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo anaiehsmu sana Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475553    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa eneo la Chechnya katika Shirikisho la Russia Ijumaa wametangaza kufungua msikito ambao wameutaja kuwa mkubwa Zaidi barani Ulaya.
Habari ID: 3472097    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/24