IQNA

Sala za Idul Fitr yavutia umati mkubwa huko Karbala, Iraq

Sala za Idul Fitr yavutia umati mkubwa huko Karbala, Iraq

IQNA - Sala ya Idul Fitr katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ilishuhudia mahudhurio makubwa ya waumini na wafanyaziyara siku ya Jumatano.
11:05 , 2024 Apr 11
Rais wa Iran amwambia Rais wa Uturuki: Kukata uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kutaipigisha magoti Israel

Rais wa Iran amwambia Rais wa Uturuki: Kukata uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kutaipigisha magoti Israel

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kukatwa uhusiano wa kiuchumi na kisiasa wa nchi za Waislamu na utawala wa Kizayuni ndiyo silaha bora ya kukomesha jinai za Wazayuni huko Palestina.
10:41 , 2024 Apr 11
Kauli ya kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuwaua shahidi watoto na wajukuu wake

Kauli ya kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuwaua shahidi watoto na wajukuu wake

IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, Hamas, amethibitisha habari ya kuuawa shahidi watoto na wajukuu zake katika shambulio la kinyama la utawala wa Kizayuni na akasema: "kwa machungu haya na kwa damu hii tunajenga matumaini, mustakbali na uhuru wa watu wetu, piganio letu na taifa letu".
10:33 , 2024 Apr 11
Qari wa Iran ashinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al-Kawthar

Qari wa Iran ashinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al-Kawthar

IQNA – Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yamemalizika tamati, huku qari wa Iran Ustadh Mostafa Hemmat Qassemi akishinda tuzo ya juu zaidi.
10:27 , 2024 Apr 11
Ayatullah Khamenei aongoza Sala ya Idul-Fitr mjini Tehran

Ayatullah Khamenei aongoza Sala ya Idul-Fitr mjini Tehran

IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini leo Jumatano asubuhi walikusanyika kwenye Uwanja  wa Swala wa Mosalla Imam Khomeini katika mji mkuu wa Iran, Tehran, kwa ajili ya  Sala ya Idul Fitr inayoashiria kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
20:35 , 2024 Apr 10
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
18:57 , 2024 Apr 10
Ayatullah Khamenei: Suala la Gaza haliwezi kufumbiwa macho, ni kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu

Ayatullah Khamenei: Suala la Gaza haliwezi kufumbiwa macho, ni kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Ghaza ni suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho kwani ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kutekeleza vizuri majukumu yake kuhusu Ukanda wa Ghaza.
18:50 , 2024 Apr 10
Haram ya Hadhrat Abbas yaandaa kikao cha Qur’ani nchini Senegal

Haram ya Hadhrat Abbas yaandaa kikao cha Qur’ani nchini Senegal

IQNA –Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq imeandaa mkusanyiko wa qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Senegal kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
18:02 , 2024 Apr 10
Idul Fitr : Siku ya Kupokea Malipo Baada ya Saumu ya Ramadhani

Idul Fitr : Siku ya Kupokea Malipo Baada ya Saumu ya Ramadhani

IQNA - Ramadhani, mwezi wa ibada na kujitolea, unafikia kilele kwa Waislamu kujiandaa kupokea malipo yao kutoka kwa Mwenyezi Mungu baada ya mwezi wa saumu na ibada.
13:49 , 2024 Apr 10
Ayatullah Khamenei: Israel

Ayatullah Khamenei: Israel "lazima iadhibiwe na kutiwa adabu" kwa kushambulia Ubalozi wa Iran

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
12:05 , 2024 Apr 10
Rais wa Iran: Ni wajibu kwa nchi za Kiislamu kukomesha jinai za Israel huko Gaza

Rais wa Iran: Ni wajibu kwa nchi za Kiislamu kukomesha jinai za Israel huko Gaza

IQNA-Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
10:34 , 2024 Apr 10
Wanafunzi Milioni 3 Iran wahudhuria vikao vya Qur'ani kwa ajili ya mashahidi wa Gaza

Wanafunzi Milioni 3 Iran wahudhuria vikao vya Qur'ani kwa ajili ya mashahidi wa Gaza

IQNA - Programu khitma ya Qur'ani zilifanyika Jumatatu katika shule zaidi ya 20,000 nchini Iran na nchi kadhaa duaniani kuwakumbuka mashahidi mabarobaro Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
20:48 , 2024 Apr 09
Wananchi wa Iran kusherehekea Idul Fitr Jumatano 10 Aprili

 

Wananchi wa Iran kusherehekea Idul Fitr Jumatano 10 Aprili  

IQNA – Hilali ya mwezi wa Shawwal imeandamana leo jioni nchini Iran na kwa msingi huo Jumatano Aprili 10 2024 itakuwa Mosi Shawwal 1445 Hijria Qamaria na siku kuu ya Idul Fitri.
20:32 , 2024 Apr 09
Mwezi wa Ramadhani Duniani Kote 1445 Hijria (2024) Katika Picha

Mwezi wa Ramadhani Duniani Kote 1445 Hijria (2024) Katika Picha

IQNA - Mamilioni ya Waislamu duniani kote husherehekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa matukio tofauti kama vile usomaji wa Qur'ani, futari ya pamoja na sala za jamaa.
20:19 , 2024 Apr 09
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
17:41 , 2024 Apr 09
2